iqna

IQNA

benki ya kiislamu
Mfumo wa Kifedha wa Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Benki ya KCB Tanzania imezindua Hatifungani (Dhamana za muda mrefu) yake ya kwanza ya Kiislamu yenye thamani ya Tsh10 bilioni ($4.4 milioni) kufadhili kitengo cha Sahl cha benki hiyo.
Habari ID: 3476075    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/12

Benki ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA) - Katika hatua muhimu ya kusonga mbele Waislamu 800,000 wa Australia, nchi itashuhudia benki yake ya kwanza ya Kiislamu ikifunguliwa rasmi.
Habari ID: 3475927    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/14

Waislamu duniani
TEHRAN (IQNA) – Mfuko wa Kimataifa wa Kiislamu kwa Wakimbizi (GIFR) umezinduliwa ili kutoa rasilimali za kifedha za kibunifu ili kusaidia usaidizi wa kimaendeleo na wa kibinadamu kwa mizozo ya watu waliokimbia makazi yao.
Habari ID: 3475831    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/24

Mfumo wa kifedha wa Kiislamu
TEHRAN (IQNA) – Benki ya kwanza ya Kiislamu ya Australia imeidhinishwa kuwa na leseni yenye masharti ya kuchukua amana chini ya Sheria ya Benki.
Habari ID: 3475496    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/13

TEHRAN (IQNA)- Benki ya Jaiz Plc ya Nigeria imetajwa kuwa benki ya Kiislamu iliyoimarika zaidi duniani mwaka 2020.
Habari ID: 3473193    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/22